Yeremia 2:14 - Swahili Revised Union Version14 Je! Israeli ni mtumwa? Je! Ni mzalia? Mbona amekuwa mateka? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema14 “Je, Israeli ni mtumwa, ama amezaliwa utumwani? Mbona basi amekuwa kama mawindo? Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND14 “Je, Israeli ni mtumwa, ama amezaliwa utumwani? Mbona basi amekuwa kama mawindo? Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza14 “Je, Israeli ni mtumwa, ama amezaliwa utumwani? Mbona basi amekuwa kama mawindo? Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu14 Je, Israeli ni mtumishi, yaani mtumwa kwa kuzaliwa? Kwa nini basi amekuwa mateka? Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu14 Je, Israeli ni mtumishi, yaani mtumwa kwa kuzaliwa? Kwa nini basi amekuwa mateka? Tazama sura |