Yeremia 2:12 - Swahili Revised Union Version12 Enyi mbingu, staajabuni kwa ajili ya jambo hili, mkaogope sana, na kuwa ukiwa sana, asema BWANA. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema12 Shangaeni enyi mbingu, juu ya jambo hili, mkastaajabu na kufadhaika kabisa. Mimi Mwenyezi-Mungu nimesema. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND12 Shangaeni enyi mbingu, juu ya jambo hili, mkastaajabu na kufadhaika kabisa. Mimi Mwenyezi-Mungu nimesema. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza12 Shangaeni enyi mbingu, juu ya jambo hili, mkastaajabu na kufadhaika kabisa. Mimi Mwenyezi-Mungu nimesema. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu12 Shangaeni katika hili, ee mbingu, nanyi tetemekeni kwa hofu kuu,” asema Mwenyezi Mungu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu12 Shangaeni katika hili, ee mbingu, nanyi tetemekeni kwa hofu kuu,” asema bwana. Tazama sura |