Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yeremia 19:10 - Swahili Revised Union Version

10 Ndipo hapo utalivunja gudulia lile, mbele ya macho ya watu wale waendao pamoja nawe,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

10 Kisha wewe utalivunja gudulia hilo mbele ya watu hao watakaokwenda pamoja nawe,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

10 Kisha wewe utalivunja gudulia hilo mbele ya watu hao watakaokwenda pamoja nawe,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

10 Kisha wewe utalivunja gudulia hilo mbele ya watu hao watakaokwenda pamoja nawe,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

10 “Kisha livunje lile gudulia wale walio pamoja nawe wakiwa wanaangalia,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

10 “Kisha livunje lile gudulia wale walio pamoja nawe wakiwa wanaangalia,

Tazama sura Nakili




Yeremia 19:10
6 Marejeleo ya Msalaba  

Naye atapavunja kama chombo cha mfinyanzi kivunjwavyo, kinavyovunjwavunjwa kikatili, hata hakipatikani katika vipande vyake kigae kitoshacho kutwaa moto jikoni, au kuteka maji kisimani.


BWANA akasema hivi, Nenda ukanunue gudulia la mfinyanzi, ukachukue pamoja nawe baadhi ya wazee wa watu, na baadhi ya wazee wa makuhani;


Basi, tazama, siku zinakuja, asema BWANA, ambazo nitatuma kwake wamiminao, nao watammimina, nao watamwaga vyote vilivyomo vyomboni mwake, na kuzivunja chupa zake vipande vipande.


Juu ya madari yote ya nyumba za Moabu, na katika njia kuu zake, pana maombolezo, kila mahali; kwa maana nimevunja Moabu kama chombo kisichopendeza, asema BWANA.


mwanamke mwenye kibweta cha marhamu ya thamani kubwa alimkaribia akaimimina kichwani pake alipoketi chakulani.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo