Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yeremia 18:5 - Swahili Revised Union Version

5 Ndipo neno la BWANA likanijia, kusema,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 Kisha, neno la Mwenyezi-Mungu likanijia:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 Kisha, neno la Mwenyezi-Mungu likanijia:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 Kisha, neno la Mwenyezi-Mungu likanijia:

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 Kisha neno la Mwenyezi Mungu likanijia kusema:

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 Kisha neno la bwana likanijia kusema:

Tazama sura Nakili




Yeremia 18:5
2 Marejeleo ya Msalaba  

Na chombo kile, alichokuwa akikifinyanga, kilipoharibika mkononi mwake yule mfinyanzi, alikitengeneza tena kuwa chombo kingine, kama alivyoona vema yule mfinyanzi kukifanya.


Ee nyumba ya Israeli, je! Siwezi mimi kuwatendea ninyi vile vile kama mfinyanzi huyu alivyotenda? Asema BWANA. Angalieni, kama udongo ulivyo katika mkono wa mfinyanzi, ndivyo mlivyo ninyi katika mkono wangu, Ee nyumba ya Israeli.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo