Yeremia 17:5 - Swahili Revised Union Version5 BWANA asema hivi, Amelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu, Amfanyaye mwanadamu kuwa kinga yake Na moyoni mwake amemwacha BWANA. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema5 Mwenyezi-Mungu asema hivi: “Alaaniwe mtu anayemtegemea binadamu, mtu ambaye anategemea nguvu za binadamu, mtu ambaye moyo wake umeniacha mimi Mwenyezi-Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND5 Mwenyezi-Mungu asema hivi: “Alaaniwe mtu anayemtegemea binadamu, mtu ambaye anategemea nguvu za binadamu, mtu ambaye moyo wake umeniacha mimi Mwenyezi-Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza5 Mwenyezi-Mungu asema hivi: “Alaaniwe mtu anayemtegemea binadamu, mtu ambaye anategemea nguvu za binadamu, mtu ambaye moyo wake umeniacha mimi Mwenyezi-Mungu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu5 Hili ndilo asemalo Mwenyezi Mungu: “Amelaaniwa yeye amtegemeaye mwanadamu, amtegemeaye mwenye mwili kwa ajili ya nguvu zake, ambaye moyo wake umemwacha Mwenyezi Mungu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu5 Hili ndilo asemalo bwana: “Amelaaniwa yeye amtegemeaye mwanadamu, ategemeaye mwenye mwili kwa ajili ya nguvu zake, ambaye moyo wake umemwacha bwana. Tazama sura |
Na hao wa kwenu watakaookoka watanikumbuka kati ya mataifa, watakakochukuliwa mateka, jinsi nilivyoiponda mioyo yao ya kikahaba, iliyoniacha, na macho yao, yaendayo kufanya uasherati na vinyago vyao; nao watajichukia nafsi zao machoni pao wenyewe, kwa sababu ya mabaya yao yote, waliyoyatenda kwa machukizo yao yote.