Yeremia 16:8 - Swahili Revised Union Version8 Wala usiingie ndani katika nyumba yenye karamu, kuketi pamoja nao, na kula na kunywa. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema8 “Usiingie katika nyumba wanamofanya karamu. Usiketi kula na kunywa pamoja nao. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND8 “Usiingie katika nyumba wanamofanya karamu. Usiketi kula na kunywa pamoja nao. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza8 “Usiingie katika nyumba wanamofanya karamu. Usiketi kula na kunywa pamoja nao. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu8 “Usiingie katika nyumba ambayo kuna karamu, na kuketi humo ili kula na kunywa. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu8 “Usiingie katika nyumba ambayo kuna karamu, na kuketi humo ili kula na kunywa. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI8 Wala usiingie ndani katika nyumba yenye karamu, kuketi pamoja nao, na kula na kunywa. Tazama sura |