Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yeremia 16:8 - Swahili Revised Union Version

8 Wala usiingie ndani katika nyumba yenye karamu, kuketi pamoja nao, na kula na kunywa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 “Usiingie katika nyumba wanamofanya karamu. Usiketi kula na kunywa pamoja nao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 “Usiingie katika nyumba wanamofanya karamu. Usiketi kula na kunywa pamoja nao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 “Usiingie katika nyumba wanamofanya karamu. Usiketi kula na kunywa pamoja nao.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 “Usiingie katika nyumba ambayo kuna karamu, na kuketi humo ili kula na kunywa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 “Usiingie katika nyumba ambayo kuna karamu, na kuketi humo ili kula na kunywa.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

8 Wala usiingie ndani katika nyumba yenye karamu, kuketi pamoja nao, na kula na kunywa.

Tazama sura Nakili




Yeremia 16:8
9 Marejeleo ya Msalaba  

Sikai pamoja na watu waovu, Wala sitaingia kuwa pamoja na wanafiki.


Sikuketi katika mkutano wao wanaojifurahisha, wala sikufurahi, niliketi peke yangu kwa sababu ya mkono wako; kwa maana umenijaza ghadhabu.


Kwa kuwa kama vile siku zile zilizokuwa kabla ya Gharika watu walivyokuwa wakila, na kunywa, wakioa na kuolewa, hadi siku ile aliyoingia Nuhu katika safina,


Lakini, mambo yalivyo, niliwaandikia kwamba msichangamane na mtu aitwaye ndugu, akiwa ni mzinzi au mwenye kutamani au mwenye kuabudu sanamu au mtukanaji au mlevi au mnyang'anyi; mtu wa namna hii msikubali hata kula naye.


Wala msishirikiane na matendo yasiyozaa ya giza, bali myakemee;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo