Yeremia 13:5 - Swahili Revised Union Version5 Basi nikaenda, nikakificha karibu na mto Frati, kama BWANA alivyoniamuru. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema5 Basi, nikaenda na kukificha kikoi hicho karibu na mto Eufrate, kama Mwenyezi-Mungu alivyoniamuru. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND5 Basi, nikaenda na kukificha kikoi hicho karibu na mto Eufrate, kama Mwenyezi-Mungu alivyoniamuru. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza5 Basi, nikaenda na kukificha kikoi hicho karibu na mto Eufrate, kama Mwenyezi-Mungu alivyoniamuru. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu5 Ndipo nikaenda na kuuficha ule mkanda huko Frati, kama Mwenyezi Mungu alivyoniamuru. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu5 Ndipo nikaenda na kuuficha ule mkanda huko Frati, kama bwana alivyoniamuru. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI5 Basi nikaenda, nikakificha karibu na mto Frati, kama BWANA alivyoniamuru. Tazama sura |