Yeremia 12:8 - Swahili Revised Union Version8 Urithi wangu umekuwa kwangu kama simba msituni; ameinua sauti yake juu yangu; kwa sababu hiyo nimemchukia. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema8 Wateule wangu wamenigeuka, wamekuwa kama simba porini, wameningurumia mimi; ndiyo maana nawachukia. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND8 Wateule wangu wamenigeuka, wamekuwa kama simba porini, wameningurumia mimi; ndiyo maana nawachukia. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza8 Wateule wangu wamenigeuka, wamekuwa kama simba porini, wameningurumia mimi; ndiyo maana nawachukia. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu8 Urithi wangu umekuwa kwangu kama simba wa msituni. Nauchukia kwa kuwa unaningurumia. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu8 Urithi wangu umekuwa kwangu kama simba wa msituni. Huningurumia mimi, kwa hiyo ninamchukia. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI8 Urithi wangu umekuwa kwangu kama simba msituni; ameinua sauti yake juu yangu; kwa sababu hiyo nimemchukia. Tazama sura |