Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yeremia 1:4 - Swahili Revised Union Version

4 Neno la BWANA lilinijia, kusema,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Mwenyezi-Mungu aliniambia neno lake:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Mwenyezi-Mungu aliniambia neno lake:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Mwenyezi-Mungu aliniambia neno lake:

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 Neno la Mwenyezi Mungu lilinijia, kusema,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 Neno la bwana lilinijia, kusema,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

4 Neno la BWANA lilinijia, kusema,

Tazama sura Nakili




Yeremia 1:4
5 Marejeleo ya Msalaba  

ambaye neno la BWANA lilimjia katika siku za Yosia, mwana wa Amoni, mfalme wa Yuda, katika mwaka wa kumi na tatu wa kutawala kwake.


Tena lilikuja siku za Yehoyakimu, mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda, hadi mwisho wa mwaka wa kumi na mmoja wa Sedekia, mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda; hata wakati ulipochukuliwa mateka Yerusalemu, katika mwezi wa tano.


Kabla sijakuumba katika tumbo nilikujua, na kabla hujatoka tumboni, nilikutakasa; nimekuweka kuwa nabii wa mataifa.


neno la BWANA lilimjia Ezekieli, kuhani, mwana wa Buzi, katika nchi ya Wakaldayo, karibu na mto Kebari; na mkono wa BWANA ulikuwa hapo juu yake.


Hata ikawa, mwisho wa siku saba, neno la BWANA likanijia, kusema,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo