Yeremia 1:12 - Swahili Revised Union Version12 Ndipo BWANA akaniambia, Umeona vema, kwa maana ninaliangalia neno langu, ili nilitimize. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema12 Mwenyezi-Mungu akaniambia, “Umeona vizuri, maana niko macho kulitekeleza neno langu.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND12 Mwenyezi-Mungu akaniambia, “Umeona vizuri, maana niko macho kulitekeleza neno langu.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza12 Mwenyezi-Mungu akaniambia, “Umeona vizuri, maana niko macho kulitekeleza neno langu.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu12 Mwenyezi Mungu akaniambia, “Umeona vyema kwa maana ninaliangalia neno langu ili kuona kwamba limetimizwa.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu12 bwana akaniambia, “Umeona vyema kwa maana ninaliangalia neno langu ili kuona kwamba limetimizwa.” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI12 Ndipo BWANA akaniambia, Umeona vema, kwa maana ninaliangalia neno langu, ili nilitimize. Tazama sura |