Yakobo 3:16 - Swahili Revised Union Version16 Maana hapo palipo wivu na ugomvi ndipo palipo machafuko, na kila tendo baya. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema16 Maana popote palipo na wivu na ubinafsi, hapo pana fujo na kila aina ya uovu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND16 Maana popote palipo na wivu na ubinafsi, hapo pana fujo na kila aina ya uovu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza16 Maana popote palipo na wivu na ubinafsi, hapo pana fujo na kila aina ya uovu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu16 Kwa maana panapokuwa na wivu na ubinafsi, ndipo penye machafuko na uovu wa kila namna. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu16 Kwa maana panapokuwa na wivu na ubinafsi, ndipo penye machafuko na uovu wa kila namna. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI16 Maana hapo palipo wivu na ugomvi ndipo palipo machafuko, na kila tendo baya. Tazama sura |