Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yakobo 2:15 - Swahili Revised Union Version

15 Ikiwa ndugu mwanamume au ndugu mwanamke yu uchi na kupungukiwa na riziki,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

15 Tuseme kaka au dada hana nguo au chakula.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

15 Tuseme kaka au dada hana nguo au chakula.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

15 Tuseme kaka au dada hana nguo au chakula.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

15 Ikiwa ndugu yako au dada hana mavazi wala chakula,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

15 Ikiwa ndugu yako au dada hana mavazi wala chakula,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

15 Ikiwa ndugu mwanamume au ndugu mwanamke yu uchi na kupungukiwa na riziki,

Tazama sura Nakili




Yakobo 2:15
11 Marejeleo ya Msalaba  

na kama ukimpa mtu mwenye njaa chakula chako, na kuishibisha nafsi iliyoteswa; ndipo nuru yako itakapopambazuka gizani; na kiwi chako kitakuwa kama adhuhuri.


Je! Siyo kuwagawia wenye njaa chakula chako, na kuwaleta maskini waliotupwa nje nyumbani kwako? Umwonapo mtu aliye uchi, umvike nguo; wala usikose kumsaidia mtu aliye jamaa yako.


wala hakumdhulumu mtu, bali amemrudishia mdeni wake rehani yake, wala hakumnyang'anya mtu mali yake kwa nguvu, naye amewapa wenye njaa chakula chake, na kuwavika nguo walio uchi;


maana sikuzote mnao maskini pamoja nanyi, na kila mpendapo mwaweza kuwatendea mema; lakini mimi hamko nami sikuzote.


Akawajibu akiwaambia, Mwenye kanzu mbili na ampe asiye na kanzu; na mwenye vyakula na afanye vivyo hivyo.


Akahubiri kwa jina la Bwana kwa ushujaa, akinena na kuhojiana na Wayahudi wa Kigiriki. Nao wakajaribu kumwua.


walipigwa kwa mawe, walikatwa kwa misumeno, walijaribiwa, waliuawa kwa upanga; walizungukazunguka wakivaa ngozi za kondoo na ngozi za mbuzi; walikuwa wahitaji, wakiteswa, wakitendwa mabaya;


Ndugu zangu wapenzi, sikilizeni, Je! Mungu hakuwachagua maskini wa dunia wawe matajiri wa imani na warithi wa ufalme aliowaahidia wampendao?


Lakini mtu akiwa na riziki ya dunia, kisha akamwona ndugu yake ni mhitaji, akamzuilia huruma zake, je! Upendo wa Mungu wakaaje ndani yake huyo?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo