Yakobo 2:12 - Swahili Revised Union Version12 Semeni ninyi, na kutenda kama watu watakaohukumiwa kwa sheria ya uhuru. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema12 Basi, semeni na kutenda kama watu watakaohukumiwa kwa sheria iletayo uhuru. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND12 Basi, semeni na kutenda kama watu watakaohukumiwa kwa sheria iletayo uhuru. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza12 Basi, semeni na kutenda kama watu watakaohukumiwa kwa sheria iletayo uhuru. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu12 Hivyo semeni na kutenda kama watu watakaohukumiwa kwa sheria ile iletayo uhuru. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu12 Hivyo semeni na kutenda kama watu watakaohukumiwa kwa sheria ile iletayo uhuru. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI12 Semeni ninyi, na kutenda kama watu watakaohukumiwa kwa sheria ya uhuru. Tazama sura |