Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yakobo 1:20 - Swahili Revised Union Version

20 kwa maana hasira ya mwanadamu haiitendi haki ya Mungu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 Mwenye hasira hawezi kutimiza matakwa ya Mungu yaliyo ya haki.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 Mwenye hasira hawezi kutimiza matakwa ya Mungu yaliyo ya haki.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 Mwenye hasira hawezi kutimiza matakwa ya Mungu yaliyo ya haki.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 Kwa maana hasira ya mwanadamu haitendi haki ya Mungu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 Kwa maana hasira ya mwanadamu haitendi haki ya Mwenyezi Mungu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

20 kwa maana hasira ya mwanadamu haiitendi haki ya Mungu.

Tazama sura Nakili




Yakobo 1:20
5 Marejeleo ya Msalaba  

Bali mimi nawaambieni, Kila amkasirikiaye ndugu yake itampasa hukumu; na mtu akimtusi ndugu yake, anastahili kuhukumiwa na baraza; na mtu akimwambia nduguye, Ewe mpumbavu, anastahili kuingia katika moto wa Jehanamu.


Muwe na hasira, ila msitende dhambi; jua lisichwe na uchungu wenu bado haujawatoka;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo