Waroma 4:3 - Swahili Revised Union Version3 Maana Maandiko yasemaje? Abrahamu alimwamini Mungu, ikahesabiwa kwake kuwa haki. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema3 Kwa maana, Maandiko Matakatifu yasema: “Abrahamu alimwamini Mungu, naye Mungu akamkubali kuwa mwadilifu.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND3 Kwa maana, Maandiko Matakatifu yasema: “Abrahamu alimwamini Mungu, naye Mungu akamkubali kuwa mwadilifu.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza3 Kwa maana, Maandiko Matakatifu yasema: “Abrahamu alimwamini Mungu, naye Mungu akamkubali kuwa mwadilifu.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu3 Kwa maana Maandiko yasemaje? “Ibrahimu alimwamini Mungu, na ikahesabiwa kwake kuwa haki.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu3 Kwa maana Maandiko yasemaje? “Ibrahimu alimwamini Mungu na ikahesabiwa kwake kuwa haki.” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI3 Maana Maandiko yasemaje? Abrahamu alimwamini Mungu, ikahesabiwa kwake kuwa haki. Tazama sura |