Walawi 9:6 - Swahili Revised Union Version6 Kisha Musa akasema, Neno aliloliagiza BWANA kwamba mlifanye ni hili; na huo utukufu wa BWANA utawatokea. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema6 Mose akawaambia, “Hili ndilo jambo ambalo Mwenyezi-Mungu aliwaamuru mlifanye ili utukufu wake uonekane kwenu.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND6 Mose akawaambia, “Hili ndilo jambo ambalo Mwenyezi-Mungu aliwaamuru mlifanye ili utukufu wake uonekane kwenu.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza6 Mose akawaambia, “Hili ndilo jambo ambalo Mwenyezi-Mungu aliwaamuru mlifanye ili utukufu wake uonekane kwenu.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu6 Ndipo Musa akasema, “Hili ndilo Mwenyezi Mungu alilowaagiza mlifanye, ili utukufu wa Mwenyezi Mungu upate kuonekana kwenu.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu6 Ndipo Musa akasema, “Hili ndilo bwana alilowaagiza mlifanye, ili utukufu wa bwana upate kuonekana kwenu.” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI6 Kisha Musa akasema, Neno aliloliagiza BWANA kwamba mlifanye ni hili; na huo utukufu wa BWANA utawatokea. Tazama sura |