Walawi 9:21 - Swahili Revised Union Version21 na vile vidari, na mguu wa nyuma wa upande wa kulia, Haruni akavitikisa huku na huku viwe sadaka ya kutikiswa mbele ya BWANA; kama Musa alivyoagiza. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema21 Lakini vile vidari na ule mguu wa nyuma wa kulia, Aroni alifanya navyo ishara ya kumtolea Mwenyezi-Mungu, kama Mose alivyoamuru. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND21 Lakini vile vidari na ule mguu wa nyuma wa kulia, Aroni alifanya navyo ishara ya kumtolea Mwenyezi-Mungu, kama Mose alivyoamuru. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza21 Lakini vile vidari na ule mguu wa nyuma wa kulia, Aroni alifanya navyo ishara ya kumtolea Mwenyezi-Mungu, kama Mose alivyoamuru. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu21 Haruni akaviinua vile vidari na paja la kulia mbele za Mwenyezi Mungu ili viwe sadaka ya kuinuliwa, kama Musa alivyoagiza. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu21 Haruni akaviinua vile vidari na paja la kulia mbele za bwana ili viwe sadaka ya kuinuliwa, kama Musa alivyoagiza. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI21 na vile vidari, na mguu wa nyuma wa upande wa kulia, Haruni akavitikisa huku na huku viwe sadaka ya kutikiswa mbele za BWANA; kama Musa alivyoagiza. Tazama sura |