Walawi 7:7 - Swahili Revised Union Version7 Kama hiyo sadaka ya dhambi ilivyo, na sadaka ya hatia ni vivyo hivyo; sheria yake ni moja; huyo kuhani afanyaye upatanisho kwayo, ndiye atakayekuwa nayo. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema7 Sheria ni moja kuhusu sadaka ya kuondoa hatia na sadaka ya kuondoa dhambi: Kuhani anayefanya ibada ya upatanisho ndiye atakayeichukua. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND7 Sheria ni moja kuhusu sadaka ya kuondoa hatia na sadaka ya kuondoa dhambi: Kuhani anayefanya ibada ya upatanisho ndiye atakayeichukua. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza7 Sheria ni moja kuhusu sadaka ya kuondoa hatia na sadaka ya kuondoa dhambi: kuhani anayefanya ibada ya upatanisho ndiye atakayeichukua. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu7 “ ‘Sheria hii ya sadaka ya hatia ni sawasawa na ile ya sadaka ya dhambi: Nyama ya yule mnyama aliyetolewa sadaka ni ya yule kuhani anayesimamia ibada ya upatanisho. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu7 “ ‘Sheria hii ya sadaka ya hatia ni sawasawa na ile ya sadaka ya dhambi: Nyama ya yule mnyama aliyetolewa sadaka ni ya yule kuhani anayesimamia ibada ya upatanisho. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI7 Kama hiyo sadaka ya dhambi ilivyo, na sadaka ya hatia ni vivyo hivyo; sheria yake ni moja; huyo kuhani afanyaye upatanisho kwayo, ndiye atakayekuwa nayo. Tazama sura |