Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Walawi 7:17 - Swahili Revised Union Version

17 lakini hicho kitakachosalia, katika hizo nyama za sadaka, hata siku ya tatu kitachomwa moto.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

17 Lakini nyama yoyote ya sadaka hiyo inayobaki hadi siku ya tatu itateketezwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

17 Lakini nyama yoyote ya sadaka hiyo inayobaki hadi siku ya tatu itateketezwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

17 Lakini nyama yoyote ya sadaka hiyo inayobaki hadi siku ya tatu itateketezwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

17 Nyama yoyote ya sadaka inayobaki hadi siku ya tatu lazima iteketezwe kwa moto.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

17 Nyama yoyote ya sadaka inayobaki mpaka siku ya tatu lazima iteketezwe kwa moto.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

17 lakini hicho kitakachosalia, katika hizo nyama za sadaka, hata siku ya tatu kitachomwa moto.

Tazama sura Nakili




Walawi 7:17
11 Marejeleo ya Msalaba  

Siku ya tatu Abrahamu akainua macho yake, akapaona mahali pakiwa bado ni mbali.


Wala msisaze kitu chake chochote hata asubuhi, bali kitu kitakachosalia hata asubuhi mtakichoma kwa moto.


wawe tayari kwa siku ya tatu; maana siku ya tatu BWANA atashuka katika mlima wa Sinai machoni pa watu hawa wote.


Lakini nyama yake huyo ng'ombe, na ngozi yake, na mavi yake, utayachoma kwa moto nje ya kambi; ni sadaka kwa ajili ya dhambi.


Na kwamba kitu chochote cha ile nyama, iliyo kwa ajili ya kuweka kwa kazi takatifu, au chochote cha hiyo mikate, kikisalia hata asubuhi, ndipo utavichoma kwa moto hivyo vilivyosalia; havitaliwa, maana, ni vitu vitakatifu.


Baada ya siku mbili atatufufua; siku ya tatu atatuinua, nasi tutaishi mbele zake.


Kisha Musa akamtafuta sana huyo mbuzi wa sadaka ya dhambi, naye, tazama, alikuwa amekwisha kuteketezwa; naye akawakasirikia hao Eleazari na Ithamari, wana wa Haruni, hao waliobaki, akawaambia,


Italiwa siku iyo hiyo mliyoichinja, na siku ya pili yake; na kama kitu chochote katika sadaka hiyo kilisalia hata siku ya tatu kitachomwa moto.


Ikiwa sadaka hiyo inaliwa hata kidogo siku ya tatu ni machukizo; haitakubaliwa;


na ya kuwa alizikwa; na ya kuwa alifufuka siku ya tatu, kama yanenavyo Maandiko;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo