Walawi 7:14 - Swahili Revised Union Version14 Na katika hayo atasongeza kimoja katika kila toleo kiwe sadaka ya kuinuliwa kwa BWANA; itakuwa ni ya kuhani atakayeinyunyiza hiyo damu ya sadaka za amani. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema14 Kutokana na maandazi hayo, atamtolea Mwenyezi-Mungu andazi moja kutoka kila sadaka; maandazi hayo yatakuwa yake kuhani anayeirashia madhabahu damu ya sadaka za amani. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND14 Kutokana na maandazi hayo, atamtolea Mwenyezi-Mungu andazi moja kutoka kila sadaka; maandazi hayo yatakuwa yake kuhani anayeirashia madhabahu damu ya sadaka za amani. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza14 Kutokana na maandazi hayo, atamtolea Mwenyezi-Mungu andazi moja kutoka kila sadaka; maandazi hayo yatakuwa yake kuhani anayeirashia madhabahu damu ya sadaka za amani. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu14 Ataleta moja ya kila aina ya andazi kuwa sadaka, matoleo kwa Mwenyezi Mungu; hii ni ya kuhani anayenyunyiza damu ya sadaka ya amani. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu14 Ataleta moja ya kila aina ya andazi kama sadaka, matoleo kwa bwana; hii ni ya kuhani anayenyunyiza damu ya sadaka ya amani. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI14 Na katika hayo atasongeza kimoja katika kila toleo kiwe sadaka ya kuinuliwa kwa BWANA; itakuwa ni ya kuhani atakayeinyunyiza hiyo damu ya sadaka za amani. Tazama sura |