Walawi 4:6 - Swahili Revised Union Version6 kisha kuhani atatia kidole chake katika hiyo damu na kuinyunyiza damu mbele ya BWANA mara saba, mbele ya pazia la mahali patakatifu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema6 Atachovya kidole chake katika damu hiyo na kuirashia mara saba mbele ya Mwenyezi-Mungu upande wa mbele wa pazia la mahali patakatifu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND6 Atachovya kidole chake katika damu hiyo na kuirashia mara saba mbele ya Mwenyezi-Mungu upande wa mbele wa pazia la mahali patakatifu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza6 Atachovya kidole chake katika damu hiyo na kuirashia mara saba mbele ya Mwenyezi-Mungu upande wa mbele wa pazia la mahali patakatifu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu6 Atachovya kidole chake katika hiyo damu, na kuinyunyiza sehemu yake mara saba mbele za Mwenyezi Mungu, mbele ya pazia la mahali patakatifu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu6 Atachovya kidole chake katika hiyo damu na kuinyunyiza sehemu yake mara saba mbele za bwana mbele ya pazia la mahali patakatifu. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI6 kisha kuhani atatia kidole chake katika hiyo damu na kuinyunyiza damu mbele za BWANA mara saba, mbele ya pazia la mahali patakatifu. Tazama sura |