Walawi 4:4 - Swahili Revised Union Version4 Naye atamleta huyo ng'ombe na kumweka mlangoni pa hiyo hema ya kukutania, mbele za BWANA; naye ataweka mkono wake kichwani mwake ng'ombe, na kumchinja huyo ng'ombe mbele za BWANA. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema4 Atamleta huyo fahali mchanga kwenye mlango wa hema la mkutano, mbele ya Mwenyezi-Mungu; naye ataweka mkono wake juu ya kichwa cha fahali huyo na kumchinja mbele ya Mwenyezi-Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND4 Atamleta huyo fahali mchanga kwenye mlango wa hema la mkutano, mbele ya Mwenyezi-Mungu; naye ataweka mkono wake juu ya kichwa cha fahali huyo na kumchinja mbele ya Mwenyezi-Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza4 Atamleta huyo fahali mchanga kwenye mlango wa hema la mkutano, mbele ya Mwenyezi-Mungu; naye ataweka mkono wake juu ya kichwa cha fahali huyo na kumchinja mbele ya Mwenyezi-Mungu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu4 Atamkabidhi huyo fahali kwenye ingilio la Hema la Kukutania mbele za Mwenyezi Mungu. Ataweka mkono wake juu ya kichwa cha huyo fahali na kumchinja mbele za Mwenyezi Mungu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu4 Atamkabidhi huyo fahali kwenye ingilio la Hema la Kukutania mbele za bwana. Ataweka mkono wake juu ya kichwa cha huyo fahali na kumchinja mbele za bwana. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI4 Naye atamleta huyo ng'ombe na kumweka mlangoni pa hiyo hema ya kukutania, mbele za BWANA; naye ataweka mkono wake kichwani mwa ng'ombe, na kumchinja huyo ng'ombe mbele za BWANA. Tazama sura |