Walawi 4:13 - Swahili Revised Union Version13 Na kama mkutano mzima wa Israeli ukifanya dhambi bila kukusudia, na jambo lenyewe likayafichamania macho ya huo mkutano, nao wamefanya mojawapo katika mambo yaliyozuiliwa na BWANA, kwamba wasiyafanye, nao wamepata hatia; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema13 “Iwapo jumuiya yote nzima ya Israeli imetenda dhambi bila ya kukusudia kwa kufanya kitu kilichokatazwa na amri ya Mwenyezi-Mungu Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND13 “Iwapo jumuiya yote nzima ya Israeli imetenda dhambi bila ya kukusudia kwa kufanya kitu kilichokatazwa na amri ya Mwenyezi-Mungu Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza13 “Iwapo jumuiya yote nzima ya Israeli imetenda dhambi bila ya kukusudia kwa kufanya kitu kilichokatazwa na amri ya Mwenyezi-Mungu Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu13 “ ‘Ikiwa jumuiya yote ya Israeli watatenda dhambi pasipo kukusudia na kufanya lile lililokatazwa katika amri yoyote ya Mwenyezi Mungu, hata kama jumuiya hawafahamu jambo hilo, wana hatia. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu13 “ ‘Ikiwa jumuiya yote ya Israeli watatenda dhambi pasipo kukusudia na kufanya lile lililokatazwa katika amri yoyote ya bwana, hata kama jumuiya haifahamu juu ya jambo hilo, wana hatia. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI13 Na kama mkutano mzima wa Israeli ukifanya dhambi bila kukusudia, na jambo lenyewe likafichika machoni pa huo mkutano, nao wamefanya mojawapo katika mambo yaliyozuiliwa na BWANA, kwamba wasiyafanye, nao wamepata hatia; Tazama sura |