Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Walawi 4:1 - Swahili Revised Union Version

1 BWANA akanena na Musa, na kumwambia,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

1 Mwenyezi-Mungu alimwambia Mose,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

1 Mwenyezi-Mungu alimwambia Mose,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

1 Mwenyezi-Mungu alimwambia Mose,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

1 Mwenyezi Mungu akamwambia Musa,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

1 bwana akamwambia Musa,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

1 BWANA akanena na Musa, na kumwambia,

Tazama sura Nakili




Walawi 4:1
6 Marejeleo ya Msalaba  

Haruni ataingia katika patakatifu na vitu hivi; ng'ombe dume mchanga kwa sadaka ya dhambi, na kondoo dume kwa sadaka ya kuteketezwa.


Neno hili litakuwa amri ya daima, katika vizazi vyenu vyote, ndani ya nyumba zenu zote, ya kwamba hamtakula mafuta wala damu kabisa.


Na kama mkutano mzima wa Israeli ukifanya dhambi bila kukusudia, na jambo lenyewe likayafichamania macho ya huo mkutano, nao wamefanya mojawapo katika mambo yaliyozuiliwa na BWANA, kwamba wasiyafanye, nao wamepata hatia;


Haya, nena na wana wa Israeli, uwaambie, Kama mtu yeyote akifanya dhambi pasipo kukusudia, katika neno lolote ambalo BWANA amelizuilia lisifanywe, na kutenda neno lolote la maneno hayo;


Wala haitaliwa sadaka ya dhambi yoyote, ambayo damu yake yoyote ililetwa ndani ya hema ya kukutania, ili kufanya upatanisho katika mahali patakatifu; itateketezwa.


Basi Haruni akakaribia madhabahuni, akamchinja huyo mwana-ng'ombe wa sadaka ya dhambi, aliyekuwa kwa ajili ya nafsi yake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo