Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Walawi 27:20 - Swahili Revised Union Version

20 Lakini asipotaka kulikomboa shamba, au kama amemwuzia mtu mwingine hilo shamba, halitakombolewa tena kabisa;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 Lakini kama hataki kulikomboa au amemwuzia mtu mwingine, basi, shamba hilo lisikombolewe tena.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 Lakini kama hataki kulikomboa au amemwuzia mtu mwingine, basi, shamba hilo lisikombolewe tena.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 Lakini kama hataki kulikomboa au amemwuzia mtu mwingine, basi, shamba hilo lisikombolewe tena.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 Kama pengine halikomboi shamba hilo, au kama ameliuza kwa mtu mwingine, kamwe haliwezi kukombolewa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 Kama pengine halikomboi shamba hilo, au kama ameliuza kwa mtu mwingine, kamwe haliwezi kukombolewa.

Tazama sura Nakili




Walawi 27:20
3 Marejeleo ya Msalaba  

Na kama yeye aliyeliweka shamba wakfu akitaka kulikomboa kweli, ndipo atakapoongeza sehemu ya tano ya hiyo fedha ya hesabu yako, nalo litathibitishwa kwake.


ila hilo shamba litakuwa takatifu kwa BWANA litakapotoka katika jubilii, kama ni shamba lililowekwa wakfu; litakuwa mali ya kuhani.


Mwaka wa jubilii shamba hilo litarejea kwake huyo ambaye lilinunuliwa kwake, yaani, huyo ambaye nchi hiyo ni milki yake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo