Walawi 27:20 - Swahili Revised Union Version20 Lakini asipotaka kulikomboa shamba, au kama amemwuzia mtu mwingine hilo shamba, halitakombolewa tena kabisa; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema20 Lakini kama hataki kulikomboa au amemwuzia mtu mwingine, basi, shamba hilo lisikombolewe tena. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND20 Lakini kama hataki kulikomboa au amemwuzia mtu mwingine, basi, shamba hilo lisikombolewe tena. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza20 Lakini kama hataki kulikomboa au amemwuzia mtu mwingine, basi, shamba hilo lisikombolewe tena. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu20 Kama pengine halikomboi shamba hilo, au kama ameliuza kwa mtu mwingine, kamwe haliwezi kukombolewa. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu20 Kama pengine halikomboi shamba hilo, au kama ameliuza kwa mtu mwingine, kamwe haliwezi kukombolewa. Tazama sura |