Walawi 26:46 - Swahili Revised Union Version46 Hizi ni amri, maagizo na sheria, BWANA alizozifanya kati ya yeye na hao wana wa Israeli katika huo mlima wa Sinai kwa mkono wa Musa. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema46 Hayo ndiyo masharti, maagizo na sheria ambazo Mwenyezi-Mungu aliwapa watu wa Israeli kule mlimani Sinai kwa njia ya Mose. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND46 Hayo ndiyo masharti, maagizo na sheria ambazo Mwenyezi-Mungu aliwapa watu wa Israeli kule mlimani Sinai kwa njia ya Mose. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza46 Hayo ndiyo masharti, maagizo na sheria ambazo Mwenyezi-Mungu aliwapa watu wa Israeli kule mlimani Sinai kwa njia ya Mose. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu46 Hizi ndizo amri, sheria na pia masharti ambazo Mwenyezi Mungu alifanya kati yake mwenyewe na Waisraeli katika Mlima Sinai kupitia kwa Musa. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu46 Hizi ndizo amri, sheria na pia masharti ambazo bwana alifanya kati yake mwenyewe na Waisraeli katika Mlima Sinai kupitia kwa Musa. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI46 Hizi ni amri, maagizo na sheria, BWANA alizozifanya kati yake na hao wana wa Israeli katika huo mlima wa Sinai kwa mkono wa Musa. Tazama sura |