Walawi 26:23 - Swahili Revised Union Version23 Tena kama hamtaki kurejeshwa upya kwangu mimi kwa mambo haya, bali mnaendelea kunifanyia kinyume; ndipo nami nitaendelea kuwafanyia kinyume; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema23 “Kama hata baada ya adhabu hiyo bado hamnigeukii mimi, ila mnazidi kupingana nami, Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND23 “Kama hata baada ya adhabu hiyo bado hamnigeukii mimi, ila mnazidi kupingana nami, Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza23 “Kama hata baada ya adhabu hiyo bado hamnigeukii mimi, ila mnazidi kupingana nami, Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu23 “ ‘Ikiwa pamoja na mambo haya hamtakubali maonyo yangu lakini mkaendelea kuweka uadui nami, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu23 “ ‘Ikiwa pamoja na mambo haya hamtakubali maonyo yangu lakini mkaendelea kuweka uadui nami, Tazama suraBIBLIA KISWAHILI23 Tena kama hamtaki kurejeshwa upya kwangu mimi kwa mambo haya, bali mnaendelea kunifanyia kinyume; ndipo nami nitaendelea kuwafanyia kinyume; Tazama sura |