Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Walawi 25:1 - Swahili Revised Union Version

1 Kisha BWANA akanena na Musa katika mlima wa Sinai, na kumwambia,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

1 Mwenyezi-Mungu alimwambia Mose huko mlimani Sinai,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

1 Mwenyezi-Mungu alimwambia Mose huko mlimani Sinai,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

1 Mwenyezi-Mungu alimwambia Mose huko mlimani Sinai,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

1 Mwenyezi Mungu akamwambia Musa katika Mlima Sinai,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

1 bwana akamwambia Musa katika Mlima Sinai,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

1 Kisha BWANA akanena na Musa katika mlima wa Sinai, na kumwambia,

Tazama sura Nakili




Walawi 25:1
8 Marejeleo ya Msalaba  

tena watu wa nchi wakitembeza biashara, au chakula chochote, siku ya sabato, tusinunue kwao siku ya sabato, au siku takatifu; tena mwaka wa saba tusiliwe na madeni yote tuyafute.


Mwezi wa tatu baada ya Waisraeli kutoka katika nchi ya Misri, siku iyo hiyo wakafika katika jangwa la Sinai.


Utapanda mbegu katika nchi yako muda wa miaka sita na kupata mavuno yake;


Musa akanena na wana wa Israeli, nao wakamtoa huyo aliyeapiza nje ya kambi, wakamwua kwa kumpiga kwa mawe. Wana wa Israeli wakafanya kama BWANA alivyomwagiza Musa.


Nena na wana wa Israeli, uwaambie, Hapo mtakapoingia katika nchi niwapayo, ndipo hiyo nchi itashika Sabato kwa ajili ya BWANA.


BWANA akanena na Musa katika jangwa la Sinai, hemani mwa kukutania, siku ya kwanza ya mwezi wa pili, katika mwaka wa pili baada ya kutoka kwao nchi ya Misri, akamwambia,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo