Walawi 23:30 - Swahili Revised Union Version30 Na mtu yeyote afanyaye kazi ya namna yoyote siku hiyo, mtu huyo nitamwangamiza atoke katika watu wake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema30 Mtu yeyote atakayefanya kazi yoyote siku hiyo nitamwangamiza miongoni mwa watu wake. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND30 Mtu yeyote atakayefanya kazi yoyote siku hiyo nitamwangamiza miongoni mwa watu wake. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza30 Mtu yeyote atakayefanya kazi yoyote siku hiyo nitamwangamiza miongoni mwa watu wake. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu30 Mtu atakayefanya kazi siku hiyo nitamwangamiza kutoka miongoni mwa watu wake. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu30 Mtu yeyote atakayefanya kazi siku hiyo nitamwangamiza kutoka miongoni mwa watu wake. Tazama sura |