Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Walawi 23:25 - Swahili Revised Union Version

25 Msifanye kazi yoyote ya utumishi; nanyi mtasongeza sadaka kwa BWANA kwa njia ya moto.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

25 Msifanye kazi siku hiyo na ni lazima mnitolee mimi Mwenyezi-Mungu sadaka ya kuteketezwa kwa moto.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

25 Msifanye kazi siku hiyo na ni lazima mnitolee mimi Mwenyezi-Mungu sadaka ya kuteketezwa kwa moto.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

25 Msifanye kazi siku hiyo na ni lazima mnitolee mimi Mwenyezi-Mungu sadaka ya kuteketezwa kwa moto.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

25 Msifanye kazi zenu zozote za kawaida, lakini toeni sadaka kwa Mwenyezi Mungu iliyoteketezwa kwa moto.’ ”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

25 Msifanye kazi zenu zozote za kawaida, lakini toeni sadaka kwa bwana iliyoteketezwa kwa moto.’ ”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

25 Msifanye kazi yoyote ya utumishi; nanyi mtasongeza sadaka kwa BWANA kwa njia ya moto.

Tazama sura Nakili




Walawi 23:25
5 Marejeleo ya Msalaba  

Tangu siku ya kwanza ya mwezi wa saba walianza kumtolea BWANA sadaka za kuteketezwa, lakini msingi wa hekalu la BWANA ulikuwa haujawekwa bado.


Nanyi mtatangaza suku iyo hiyo; kutakuwa na kusanyiko takatifu kwenu; msifanye kazi yoyote ya utumishi; ni amri ya milele katika makao yenu yote, katika vizazi vyenu.


Kisha BWANA akanena na Musa, na kumwambia,


Siku ya kwanza kutakuwa na kusanyiko takatifu; msifanye kazi yoyote ya utumishi.


Siku ya kwanza mtakuwa na kusanyiko takatifu msifanye kazi yoyote ya utumishi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo