Walawi 23:11 - Swahili Revised Union Version11 naye atautikisa mganda mbele za BWANA ili kwamba ukubaliwe kwa ajili yenu; siku ya pili baada ya Sabato kuhani atautikisa. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema11 Kuhani atafanya nayo ishara ya kunitolea siku inayofuata siku ya Sabato ili mpate kukubaliwa. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND11 Kuhani atafanya nayo ishara ya kunitolea siku inayofuata siku ya Sabato ili mpate kukubaliwa. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza11 Kuhani atafanya nayo ishara ya kunitolea siku inayofuata siku ya Sabato ili mpate kukubaliwa. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu11 Naye atauinua huo mganda mbele za Mwenyezi Mungu ili ukubaliwe kwa niaba yenu; kuhani ataupunga siku inayofuata Sabato. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu11 Naye atauinua huo mganda mbele za bwana ili ukubaliwe kwa niaba yenu; kuhani ataupunga siku inayofuata Sabato. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI11 naye atautikisa mganda mbele za BWANA ili kwamba ukubaliwe kwa ajili yenu; siku ya pili baada ya Sabato kuhani atautikisa. Tazama sura |