Walawi 21:9 - Swahili Revised Union Version9 Na binti ya kuhani yeyote atakapojitia unajisi kwa ukahaba, amemtia unajisi baba yake; atachomwa hadi afe. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema9 Binti wa kuhani yeyote akijitia unajisi kwa kufanya ukahaba, atateketezwa kwa moto kwani anamtia baba yake unajisi. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND9 Binti wa kuhani yeyote akijitia unajisi kwa kufanya ukahaba, atateketezwa kwa moto kwani anamtia baba yake unajisi. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza9 Binti wa kuhani yeyote akijitia unajisi kwa kufanya ukahaba, atateketezwa kwa moto kwani anamtia baba yake unajisi. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu9 “ ‘Ikiwa binti ya kuhani anajitia unajisi kwa kufanya ukahaba, anamwaibisha baba yake; lazima achomwe kwa moto. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu9 “ ‘Ikiwa binti wa kuhani anajitia unajisi kwa kufanya ukahaba, anamwaibisha baba yake; lazima achomwe kwa moto. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI9 Na binti wa kuhani yeyote atakapojitia unajisi kwa ukahaba, amemtia unajisi baba yake; atachomwa hadi afe. Tazama sura |