Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Walawi 21:13 - Swahili Revised Union Version

13 Naye atamwoa mwanamke katika ubikira wake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Kuhani mkuu aweza tu kumwoa msichana ambaye ni bikira.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Kuhani mkuu aweza tu kumwoa msichana ambaye ni bikira.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Kuhani mkuu aweza tu kumwoa msichana ambaye ni bikira.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 “ ‘Mwanamke atakayeolewa na kuhani lazima awe bikira.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 “ ‘Mwanamke kuhani atakayemwoa lazima awe bikira.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

13 Naye atamwoa mwanamke katika ubikira wake.

Tazama sura Nakili




Walawi 21:13
6 Marejeleo ya Msalaba  

Wala hawataoa wanawake wajane, wala mwanamke aliyeachwa na mume wake; lakini watatwaa mabikira wa wazao wa nyumba ya Israeli, au mjane aliyefiwa na mumewe kuhani.


wala asitoke katika mahali patakatifu, wala asipatie unajisi mahali patakatifu pa Mungu wake; kwa kuwa utakaso wa hayo mafuta ya kutiwa ya Mungu wake uko juu yake; mimi ndimi BWANA.


Asitwae mjane, wala mwanamke aliyeachwa na mumewe, wala mwanamke mwenye unajisi, wala kahaba; lakini atamwoa mwanamwali katika watu wake mwenyewe.


Wasimwoe mwanamke aliye kahaba, au huyo aliye mwenye unajisi; wala wasimwoe mwanamke aliyeachwa na mumewe; kwa kuwa yeye kuhani ni mtakatifu kwa Mungu wake.


Maana nawaonea wivu, wivu wa Mungu; kwa kuwa niliwaposea mume mmoja, ili nimletee Kristo bikira safi.


Hawa ndio wasiojitia unajisi na wanawake, kwa maana ni bikira. Hawa ndio wamfuatao Mwana-kondoo kila aendako. Hawa wamenunuliwa katika wanadamu, malimbuko kwa Mungu na kwa Mwana-kondoo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo