Walawi 20:26 - Swahili Revised Union Version26 Nanyi mtakuwa watakatifu kwangu; kwa kuwa mimi BWANA ni mtakatifu nami nimewatenga ninyi na mataifa, ili kwamba muwe wangu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema26 Kwa kuwa mimi Mwenyezi-Mungu ni mtakatifu, nami nimewatenga nyinyi na mataifa mengine ili muwe mali yangu, mtakuwa watakatifu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND26 Kwa kuwa mimi Mwenyezi-Mungu ni mtakatifu, nami nimewatenga nyinyi na mataifa mengine ili muwe mali yangu, mtakuwa watakatifu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza26 Kwa kuwa mimi Mwenyezi-Mungu ni mtakatifu, nami nimewatenga nyinyi na mataifa mengine ili muwe mali yangu, mtakuwa watakatifu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu26 Mtakuwa watakatifu kwangu, kwa sababu Mimi, Mwenyezi Mungu, ni mtakatifu, nami nimewatenga kutoka mataifa kuwa wangu mwenyewe. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu26 Mtakuwa watakatifu kwangu, kwa sababu Mimi, bwana, ni mtakatifu, nami nimewatenga kutoka mataifa kuwa wangu mwenyewe. Tazama sura |