Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Walawi 20:1 - Swahili Revised Union Version

1 Kisha BWANA akanena na Musa, na kumwambia,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

1 Mwenyezi-Mungu alimwambia Mose,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

1 Mwenyezi-Mungu alimwambia Mose,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

1 Mwenyezi-Mungu alimwambia Mose,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

1 Mwenyezi Mungu akamwambia Musa,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

1 bwana akamwambia Musa,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

1 Kisha BWANA akanena na Musa, na kumwambia,

Tazama sura Nakili




Walawi 20:1
7 Marejeleo ya Msalaba  

Na kila mtu asiyekubali kuitenda sheria ya Mungu wako, na sheria ya mfalme, na apatilizwe hukumu kali, iwe ni kuuawa, au ni kuhamishwa, au kunyang'anywa mali yake, au kufungwa.


Nao wamepajenga mahali palipoinuka pa Tofethi, palipo katika bonde la mwana wa Hinomu, ili kuwateketeza wana wao na binti zao motoni; jambo ambalo mimi sikuliagiza, wala halikuingia moyoni mwangu.


hata ukawaua watoto wangu, na kuwatoa kwa kuwapitisha motoni kwa hao?


Zishikeni sheria zangu, na hukumu zangu, na kuzitenda. Mimi ndimi BWANA.


Tena uwaambie wana wa Israeli, Mtu yeyote miongoni mwa wana wa Israeli, au miongoni mwa wageni waishio katika Israeli, atakayetoa katika kizazi chake na kumpa Moleki, sharti atauawa; wenyeji wa nchi watampiga kwa mawe.


Je! BWANA atapendezwa na maelfu ya kondoo dume, au na makumi elfu ya mito ya mafuta? Je! Nimtoe mzaliwa wangu wa kwanza kwa kosa langu, mzawa wa mwili wangu kwa dhambi ya roho yangu?


Kama mkimcha BWANA, na kumtumikia, na kuisikia sauti yake, msiiasi amri ya BWANA, tena kama ninyi, na mfalme anayewatawala, mkimfuata BWANA, Mungu wenu, vema!


Tufuate:

Matangazo


Matangazo