Walawi 2:3 - Swahili Revised Union Version3 na huo uliosalia wa ile sadaka ya unga utakuwa ni wa Haruni na wanawe; ni kitu kitakatifu sana katika sadaka zilizotolewa kwa BWANA kwa njia ya moto. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema3 Sehemu inayobaki ya sadaka hiyo ni ya makuhani. Hiyo ni sehemu takatifu kabisa ya sadaka anayotolewa Mwenyezi-Mungu kwa moto. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND3 Sehemu inayobaki ya sadaka hiyo ni ya makuhani. Hiyo ni sehemu takatifu kabisa ya sadaka anayotolewa Mwenyezi-Mungu kwa moto. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza3 Sehemu inayobaki ya sadaka hiyo ni ya makuhani. Hiyo ni sehemu takatifu kabisa ya sadaka anayotolewa Mwenyezi-Mungu kwa moto. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu3 Sadaka ya nafaka iliyobaki ni ya Haruni na wanawe; ni sehemu ya sadaka iliyo takatifu sana iliyotolewa kwa Mwenyezi Mungu kwa moto. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu3 Sadaka ya nafaka iliyobaki ni ya Haruni na wanawe, ni sehemu ya sadaka iliyo takatifu sana iliyotolewa kwa bwana kwa moto. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI3 na huo uliosalia wa ile sadaka ya unga utakuwa ni wa Haruni na wanawe; ni kitu kitakatifu sana katika sadaka zilizotolewa kwa BWANA kwa njia ya moto. Tazama sura |