Walawi 19:24 - Swahili Revised Union Version24 Lakini mwaka wa nne matunda yake yote yatakuwa ni matakatifu, kwa ajili ya kumpa BWANA shukrani. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema24 Mnamo mwaka wa nne matunda yake yote yatakuwa matakatifu, yatatolewa kuwa sadaka ya sifa, kwa Mwenyezi-Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND24 Mnamo mwaka wa nne matunda yake yote yatakuwa matakatifu, yatatolewa kuwa sadaka ya sifa, kwa Mwenyezi-Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza24 Mnamo mwaka wa nne matunda yake yote yatakuwa matakatifu, yatatolewa kuwa sadaka ya sifa, kwa Mwenyezi-Mungu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu24 Katika mwaka wa nne matunda yote ya mti huo yatakuwa matakatifu, sadaka ya sifa kwa Mwenyezi Mungu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu24 Katika mwaka wa nne matunda yote ya mti huo yatakuwa matakatifu, sadaka ya sifa kwa bwana. Tazama sura |