Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Walawi 19:11 - Swahili Revised Union Version

11 Msiibe, wala msidanganye, wala msiambiane uongo.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 “Msiibe, msidanganye wala kuambiana uongo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 “Msiibe, msidanganye wala kuambiana uongo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 “Msiibe, msidanganye wala kuambiana uongo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 “ ‘Usiibe. “ ‘Usiseme uongo. “ ‘Msidanganyane.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 “ ‘Usiibe. “ ‘Usiseme uongo. “ ‘Msidanganyane.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

11 Msiibe, wala msidanganye, wala msiambiane uongo.

Tazama sura Nakili




Walawi 19:11
28 Marejeleo ya Msalaba  

Nao watumishi wa Absalomu wakamwendea yule mwanamke mle nyumbani; wakasema, Wako wapi Yonathani na Ahimaasi? Yule mwanamke akawaambia, Wamevuka kijito cha maji. Basi walipokwisha kuwatafuta wasiwaone, wakarudi Yerusalemu.


Akamwambia, Mimi nami ni nabii kama wewe, na malaika akaniambia kwa neno la BWANA, kusema, Mrudishe pamoja nawe nyumbani kwako, ale chakula, akanywe maji. Lakini alisema uongo.


Hatakaa ndani ya nyumba yangu Mtu atendaye hila. Asemaye uongo hatathibitika Mbele ya macho yangu.


Nikiwa katika hangaiko langu nikasema, Wanadamu wote ni waongo.


Usimshuhudie jirani yako uongo.


Usiitamani nyumba ya jirani yako, usimtamani mke wa jirani yako; wala mtumwa wake, wala mjakazi wake, wala ng'ombe wake, wala punda wake, wala chochote alicho nacho jirani yako.


Mtu akiiba ng'ombe au kondoo, na kumchinja, au kumwuza; atalipa ng'ombe watano badala ya ng'ombe mmoja, na kondoo wanne badala ya kondoo mmoja.


Mtu akimpa mwenziwe amana ya fedha au vitu vingine amtunzie, na vitu vile vikaibwa katika nyumba ya mtu huyo; mwizi akipatikana, atalipa thamani yake mara mbili.


Usivumishe habari za uongo; usishirikiane na mwovu kwa kuwa shahidi wa uongo.


Usimshuhudie jirani yako pasipo sababu, Wala usidanganye kwa midomo yako.


Kwa maana, tangu aliye mdogo hata aliye mkubwa miongoni mwao, kila mmoja ni mtamanifu; na, tangu nabii hata kuhani, kila mmoja hutenda mambo ya udanganyifu.


wala usiyakusanye masazo ya mizabibu yako, wala usiyaokote matunda ya mizabibu yako yaliyopukutika; uyaache kwa ajili ya maskini na mgeni; mimi ndimi BWANA, Mungu wenu.


La hasha! Mungu aonekane kuwa kweli japo kila mtu ni mwongo; kama ilivyoandikwa, Ili ujulikane kuwa una haki katika maneno yako, Ukashinde uingiapo katika hukumu.


Basi uvueni uongo, mkaseme kweli kila mtu na jirani yake; kwa maana tu viungo, kila mmoja kiungo cha wenzake.


Mwizi asiibe tena; bali afadhali afanye juhudi, akifanya kazi iliyo nzuri kwa mikono yake mwenyewe, apate kuwa na kitu cha kumgawia mhitaji.


Msiambiane uongo, kwa kuwa mmevua kabisa utu wa kale, pamoja na matendo yake;


na wazinifu, na wafiraji, na waibao watu, na waongo, nao waapao kwa uongo; na linginelo lolote lisilopatana na mafundisho ya kweli;


Bali waoga, na wasioamini, na wachukizao, na wauaji, na wazinzi, na wachawi, na hao waabuduo sanamu, na waongo wote, sehemu yao ni katika lile ziwa liwakalo moto na kiberiti. Hii ndiyo mauti ya pili.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo