Walawi 18:25 - Swahili Revised Union Version25 nayo nchi ikawa najisi; na nikaipatiliza kwa ajili ya uovu wake, kisha ikawatema wakazi wake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema25 Nchi yao ilitiwa unajisi nami nikaiadhibu, nayo ikawakataa wakazi wake. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND25 Nchi yao ilitiwa unajisi nami nikaiadhibu, nayo ikawakataa wakazi wake. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza25 Nchi yao ilitiwa unajisi nami nikaiadhibu, nayo ikawakataa wakazi wake. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu25 Hata nchi ilitiwa unajisi, hivyo nikaiadhibu kwa dhambi zake, nayo nchi ikawatapika wakazi wake. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu25 Hata nchi ilitiwa unajisi, hivyo nikaiadhibu kwa dhambi zake, nayo nchi ikawatapika wakazi wake. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI25 nayo nchi ikawa najisi; na nikaipatiliza kwa ajili ya uovu wake, kisha ikawatema wakazi wake. Tazama sura |