Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Walawi 18:23 - Swahili Revised Union Version

23 Wala usilale na mnyama yeyote, ili kujitia unajisi kwake; wala mwanamke asisimame mbele ya mnyama ili kulala naye; ni upotovu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

23 Kamwe usilale na mnyama ili usijitie najisi; mwanamume au mwanamke yeyote kamwe asifanye hivyo; kufanya hivyo ni upotovu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

23 Kamwe usilale na mnyama ili usijitie najisi; mwanamume au mwanamke yeyote kamwe asifanye hivyo; kufanya hivyo ni upotovu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

23 Kamwe usilale na mnyama ili usijitie najisi; mwanamume au mwanamke yeyote kamwe asifanye hivyo; kufanya hivyo ni upotovu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

23 “ ‘Usikutane kimwili na mnyama na kujitia unajisi kwake. Mwanamke asijipeleke kwa mnyama ili kukutana naye kimwili; huo ni upotovu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

23 “ ‘Usikutane kimwili na mnyama na kujitia unajisi kwake. Mwanamke asijipeleke kwa mnyama ili kukutana naye kimwili; huo ni upotovu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

23 Wala usilale na mnyama yeyote, ili kujitia unajisi kwake; wala mwanamke asisimame mbele ya mnyama ili kulala naye; ni upotovu.

Tazama sura Nakili




Walawi 18:23
5 Marejeleo ya Msalaba  

Usimwache mwanamke mchawi kuishi.


Mtu yeyote alalaye na mnyama sharti atauawa.


Na mwanamume akilala na mkwewe mwanamke, wote wawili hakika watauawa; wamefanya yaliyo upotovu; damu yao itakuwa juu yao.


Na alaaniwe alalaye na mnyama wa aina yoyote. Na watu wote waseme, Amina.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo