Walawi 18:19 - Swahili Revised Union Version19 Usimwendee mwanamke kufunua utupu wake atakapokuwa najisi kwa ajili ya hedhi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema19 “Kamwe usilale na mwanamke awapo mwezini. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND19 “Kamwe usilale na mwanamke awapo mwezini. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza19 “Kamwe usilale na mwanamke awapo mwezini. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu19 “ ‘Usimsogelee mwanamke ili kukutana naye kimwili wakati wa unajisi wa siku zake za mwezi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu19 “ ‘Usimsogelee mwanamke ili kukutana naye kimwili wakati wa unajisi wa siku zake za mwezi. Tazama sura |