Walawi 17:9 - Swahili Revised Union Version9 wala haileti mlangoni pa hema ya kukutania, ili aisongeze kwa BWANA basi mtu huyo atatengwa na watu wake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema9 lakini haileti mbele ya mlango wa hema la mkutano ili kumtolea Mwenyezi-Mungu, mtu huyo atatengwa na watu wake. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND9 lakini haileti mbele ya mlango wa hema la mkutano ili kumtolea Mwenyezi-Mungu, mtu huyo atatengwa na watu wake. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza9 lakini haileti mbele ya mlango wa hema la mkutano ili kumtolea Mwenyezi-Mungu, mtu huyo atatengwa na watu wake. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu9 bila kuileta kwenye ingilio la Hema la Kukutania ili kutoa dhabihu kwa Mwenyezi Mungu, mtu huyo ni lazima akatiliwe mbali na watu wake. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu9 bila kuileta kwenye ingilio la Hema la Kukutania ili kutoa dhabihu kwa bwana, mtu huyo ni lazima akatiliwe mbali na watu wake. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI9 wala haileti mlangoni pa hema ya kukutania, ili aisongeze kwa BWANA basi mtu huyo atatengwa na watu wake. Tazama sura |