Walawi 16:5 - Swahili Revised Union Version5 Kisha atatwaa mikononi mwa mkutano wa Waisraeli mbuzi wawili wa kiume, kwa sadaka ya dhambi; na kondoo dume kwa sadaka ya kuteketezwa. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema5 Atatwaa kutoka jumuiya ya watu wa Israeli beberu wawili kwa ajili ya sadaka ya kuondoa dhambi na kondoo dume mmoja kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND5 Atatwaa kutoka jumuiya ya watu wa Israeli beberu wawili kwa ajili ya sadaka ya kuondoa dhambi na kondoo dume mmoja kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza5 Atatwaa kutoka jumuiya ya watu wa Israeli beberu wawili kwa ajili ya sadaka ya kuondoa dhambi na kondoo dume mmoja kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu5 Atachukua beberu wawili kutoka kwa jumuiya ya Israeli kwa ajili ya sadaka ya dhambi, na kondoo dume kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu5 Atachukua mbuzi dume wawili kutoka kwa jumuiya ya Israeli kwa ajili ya sadaka ya dhambi, na kondoo dume kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI5 Kisha atatwaa mikononi mwa mkutano wa Waisraeli mbuzi wawili madume, kwa sadaka ya dhambi; na kondoo dume kwa sadaka ya kuteketezwa. Tazama sura |