Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Walawi 14:5 - Swahili Revised Union Version

5 kisha kuhani ataagiza ndege mmoja achinjwe katika chombo cha udongo kilicho juu ya maji ya mtoni;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 Kuhani atawaamuru wamchinje ndege mmoja katika chungu chenye maji safi ya chemchemi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 Kuhani atawaamuru wamchinje ndege mmoja katika chungu chenye maji safi ya chemchemi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 Kuhani atawaamuru wamchinje ndege mmoja katika chungu chenye maji safi ya chemchemi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 Kisha kuhani ataagiza kwamba mmoja wa ndege wale achinjwe kwenye chungu chenye maji safi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 Kisha kuhani ataagiza kwamba mmoja wa ndege wale achinjwe kwenye chungu chenye maji safi.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

5 kisha kuhani ataagiza ndege mmoja achinjwe katika chombo cha udongo kilicho juu ya maji ya mtoni;

Tazama sura Nakili




Walawi 14:5
8 Marejeleo ya Msalaba  

ndipo huyo kuhani ataagiza kwamba watwae kwa ajili yake atakayetakaswa ndege wawili walio hai, ambao ni safi, na mti wa mwerezi, na sufu nyekundu, na hisopo;


naye atamchinja mmojawapo wa ndege hao katika chombo cha udongo kilicho juu ya maji ya mtoni;


kisha huyo ndege aliye hai atamshika, na huo mti wa mwerezi, na hiyo sufu nyekundu, na hisopo, naye atavichovya, pamoja na yule ndege aliye hai, katika damu ya huyo ndege aliyechinjwa juu ya maji ya mtoni;


kisha kuhani atatwaa maji matakatifu katika chombo cha udongo; kisha kuhani atatwaa katika vumbi lililo pale chini ya maskani, na kulitia katika hayo maji;


Maana, alisulubiwa katika udhaifu, lakini anaishi kwa nguvu za Mungu. Maana sisi nasi tu dhaifu katika yeye; lakini tutaishi pamoja naye kwa uweza wa Mungu ulio kwenu.


Lakini tuna hazina hii katika vyombo vya udongo, ili adhama kuu ya uwezo iwe ya Mungu, wala si kutoka kwetu.


Kwa maana twajua ya kuwa nyumba ya maskani yetu iliyo ya dunia hii ikiharibiwa, tunalo jengo litokalo kwa Mungu, nyumba isiyofanywa kwa mikono, iliyo ya milele mbinguni.


Basi, kwa kuwa watoto wameshiriki damu na mwili, yeye naye vivyo hivyo alishiriki yayo hayo, ili kwa njia ya mauti amharibu yeye aliyekuwa na nguvu za mauti, yaani, Ibilisi,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo