Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Walawi 14:44 - Swahili Revised Union Version

44 ndipo kuhani ataingia ndani na kuangalia, likiwa pigo limeenea ndani ya hiyo nyumba, ni ukoma unaodhuru hiyo nyumba; ni unajisi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

44 yapasa kuhani aje kuichunguza. Ikiwa upele umeenea katika nyumba hiyo, basi huo ni upele wa kufisha; nyumba hiyo ni najisi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

44 yapasa kuhani aje kuichunguza. Ikiwa upele umeenea katika nyumba hiyo, basi huo ni upele wa kufisha; nyumba hiyo ni najisi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

44 yapasa kuhani aje kuichunguza. Ikiwa upele umeenea katika nyumba hiyo, basi huo ni upele wa kufisha; nyumba hiyo ni najisi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

44 kuhani ataenda kuikagua, na kama ukoma umeenea ndani ya nyumba, basi ni ukoma unaoharibu; nyumba hiyo ni najisi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

44 kuhani atakwenda kuikagua, na kama upele umeenea ndani ya nyumba, basi ni upele uharibuo; nyumba hiyo ni najisi.

Tazama sura Nakili




Walawi 14:44
3 Marejeleo ya Msalaba  

Na kama hilo pigo likirudi tena, na kutokea ndani ya nyumba, baada ya yeye kuyatoa hayo mawe, na baada ya kuikwangua nyumba, na baada ya kupakwa chokaa,


Nitaituma itokee, asema BWANA wa majeshi, nayo itaingia katika nyumba ya mwizi, na katika nyumba ya yeyote aapaye kwa uongo kwa jina langu; nayo itakaa katika nyumba yake, na kuiteketeza, pamoja na boriti zake na mawe yake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo