Walawi 11:31 - Swahili Revised Union Version31 Wanyama hao ndio walio najisi kwenu katika hao watambaao; yeyote atakayewagusa, wakiisha kuwa mgoza, atakuwa ni najisi hata jioni. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema31 Hao wote ni najisi kwenu na yeyote atakayegusa mizoga yao, atakuwa najisi mpaka jioni. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND31 Hao wote ni najisi kwenu na yeyote atakayegusa mizoga yao, atakuwa najisi mpaka jioni. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza31 Hao wote ni najisi kwenu na yeyote atakayegusa mizoga yao, atakuwa najisi mpaka jioni. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu31 Miongoni mwa wanyama wote wanaotambaa juu ya ardhi, hawa ni najisi kwenu. Yeyote agusaye mizoga yao atakuwa najisi hadi jioni. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu31 Hao wote watambaao juu ya ardhi ni najisi kwenu. Yeyote agusaye mizoga yao atakuwa najisi mpaka jioni. Tazama sura |