Wakolosai 4:8 - Swahili Revised Union Version8 ambaye nimemtuma kwenu kwa sababu iyo hiyo, ili mjue mambo yetu, naye akawafariji mioyo yenu; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema8 Ndiyo maana ninamtuma, ili aichangamshe mioyo yenu kwa kuwaambieni habari zetu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND8 Ndiyo maana ninamtuma, ili aichangamshe mioyo yenu kwa kuwaambieni habari zetu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza8 Ndiyo maana ninamtuma, ili aichangamshe mioyo yenu kwa kuwaambieni habari zetu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu8 Nimemtuma kwenu kwa lengo maalum la kuwafahamisha hali yetu, na pia awatie moyo. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu8 Nimemtuma kwenu kwa madhumuni haya ili mpate kufahamu hali yetu, na pia awatie moyo. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI8 ambaye nimemtuma kwenu kwa sababu hiyo hiyo, ili mjue mambo yetu, naye akawafariji mioyo yenu; Tazama sura |