Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Wafilipi 3:4 - Swahili Revised Union Version

4 Lakini mimi ningeweza kuutumainia mwili. Mtu yeyote akijiona kuwa anayo sababu ya kuutumainia mwili, mimi zaidi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Mimi pia ningeweza kuyathamini hayo mambo ya nje; na kama yupo mtu anayefikiri kwamba anaweza kuyathamini hayo mambo ya nje, mimi ninayo sababu kubwa zaidi ya kufikiri hivyo:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Mimi pia ningeweza kuyathamini hayo mambo ya nje; na kama yupo mtu anayefikiri kwamba anaweza kuyathamini hayo mambo ya nje, mimi ninayo sababu kubwa zaidi ya kufikiri hivyo:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Mimi pia ningeweza kuyathamini hayo mambo ya nje; na kama yupo mtu anayefikiri kwamba anaweza kuyathamini hayo mambo ya nje, mimi ninayo sababu kubwa zaidi ya kufikiri hivyo:

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 ingawa mimi mwenyewe ninazo sababu za kuutumainia mwili. Kama mtu yeyote akidhani anazo sababu za kuutumainia mwili, mimi zaidi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 ingawa mimi mwenyewe ninazo sababu za kuutumainia mwili. Kama mtu yeyote akidhani anazo sababu za kuutumainia mwili, mimi zaidi.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

4 Lakini mimi ningeweza kuutumainia mwili. Mtu yeyote akijiona kuwa anayo sababu ya kuutumainia mwili, mimi zaidi.

Tazama sura Nakili




Wafilipi 3:4
4 Marejeleo ya Msalaba  

Jiangalieni basi jinsi msikiavyo; kwa kuwa mwenye kitu atapewa, na yule asiye na kitu atanyang'anywa hata kile ambacho anadhaniwa kuwa nacho.


Hata imekuwa, sisi tangu sasa hatumjui mtu awaye yote kwa jinsi ya mwili. Ingawa sisi tumemtambua Kristo kwa jinsi ya mwili, lakini sasa hatumtambui hivi tena.


Sisi tulio Wayahudi kwa asili, wala si wa Mataifa wenye dhambi,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo