Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Wafilipi 2:23 - Swahili Revised Union Version

23 Basi, natumaini kumtuma huyo mara, hapo nitakapojua yatakayonipata.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

23 Kwa hiyo natumaini kumtuma kwenu mara nitakapojua jinsi mambo yatakavyoniendea.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

23 Kwa hiyo natumaini kumtuma kwenu mara nitakapojua jinsi mambo yatakavyoniendea.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

23 Kwa hiyo natumaini kumtuma kwenu mara nitakapojua jinsi mambo yatakavyoniendea.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

23 Kwa hiyo, ninatumaini kumtuma kwenu upesi mara nitakapojua mambo yangu yatakavyokuwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

23 Kwa hiyo, ninatumaini kumtuma kwenu upesi mara nitakapojua mambo yangu yatakavyokuwa.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

23 Basi, natumaini kumtuma huyo mara, hapo nitakapojua yatakayonipata.

Tazama sura Nakili




Wafilipi 2:23
3 Marejeleo ya Msalaba  

nyingine zikaanguka penye miamba, pasipokuwa na udongo mwingi; zikaota haraka, kwa kukosa udongo wenye kina;


Lakini natumaini katika Bwana Yesu kumtuma Timotheo afike kwenu karibu, nifarijiwe na mimi, nikiijua hali yenu.


Kutoka huko Daudi akaenda Mispa ya Moabu; akamwambia mfalme wa Moabu, Tafadhali wakubalie baba yangu na mama yangu watoke huko waliko, wakakae kwenu, hata nitakapojua Mungu atakalotenda kwa ajili yangu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo