Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Waefeso 5:30 - Swahili Revised Union Version

30 Kwa kuwa tu viungo vya mwili wake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

30 maana sisi ni viungo vya mwili wake).

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

30 maana sisi ni viungo vya mwili wake).

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

30 maana sisi ni viungo vya mwili wake).

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

30 Sisi tu viungo vya mwili wake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

30 Sisi tu viungo vya mwili wake.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

30 Kwa kuwa tu viungo vya mwili wake.

Tazama sura Nakili




Waefeso 5:30
7 Marejeleo ya Msalaba  

Adamu akasema, Sasa huyu ni mfupa katika mifupa yangu, na nyama katika nyama yangu, basi ataitwa mwanamke, kwa maana ametwaliwa katika mwanamume.


Vivyo hivyo na sisi tulio wengi tu mwili mmoja katika Kristo, na viungo, kila mmoja kwa mwenzake.


Je! Hamjui ya kuwa miili yenu ni viungo vya Kristo? Basi nivitwae viungo vya Kristo na kuvifanya viungo vya kahaba? La hasha!


ndilo mwili wake, ukamilifu wake anayekamilika kwa vyote katika vyote.


Maana hakuna mtu anayeuchukia mwili wake popote; bali huulisha na kuutunza, kama Kristo naye anavyolitendea kanisa.


wala hakishiki Kichwa, ambacho kwa yeye mwili wote ukineemeshwa na kuungamanishwa kwa viungo na mishipa, hukua kama atakavyo Mungu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo